Saturday, March 16, 2013

* Hospitali ya KAIRUKI yatimiza miaka 25 tangu ilipoanzishwa mwaka 1987


Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE akihutubia wakati wa sherehe za miaka 25 ya hospitali ya Kumbukumbu ya HUBERT KAIRUKI Mikocheni, Dar es salaam, leo Machi 16, 2013


Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE, Rais Mstaafu Alhaj ALI HASSAN MWINYI, Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt SALIM AHMED SALIM wakiangalia watoto wachanga waliotunzwa katika chumba maalum muda mfupi baada ya kuzaliwa wakati Rais KIKWETE alipotembelea sehemu mbalimbali za hospitali ya Kumbukumbu ya HUBERT KAIRUKI akiwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 25 ya kuanzishwa kwake leo Machi 16, 2013.


Mkurugenzi Mkuu wa hospitali ya Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Mama KOKU KAIRUKI akiwa na Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji ALI HASSAN MWINYI katika Sherehe hizo.

Thursday, February 7, 2013

Shirika la kimataifa la Misaada la OXFAM lashiriki Kampeni ya Kupinga Uporaji Ardhi



Press Release
For immediate release
UHURU MONUMENT AND FAMOUS COCO BEACH AREA IN DAR ES SALAAM SOLD!
  • Global land grab day commemorated on February 07, 2013
  • Let’s Talk Land Tanzania partners symbolically sell the Uhuru Monument and Coco Beach in Dar to highlight land grabbing issues in Tanzania
  • Large land deals in the first 10 years of the century have affected over 200million hectares of land internationally (larger than Tanzania, Ghana and Zambia Combined)
  • Millions of hectares of land sold or under threat in Tanzania
Today, 7th February, iconic sites are being 'sold' to draw attention to the land grabbing that is taking the land people depend on for their homes and food. These land grabs are often unseen in rural areas; today the message is being brought to key sites in our main cities.
In Tanzania activists from the Let's Talk Land Tanzania coalition (www.letstalklandtanzania.com) are symbolically ‘selling’ the Uhuru Monument and Coco Beach in Dar es Salaam to raise awareness of the problems of large land deals and land grabs in Tanzania.
Rogers Ruhiye, from Let’s Talk Land Tanzania, explained: “To highlight this sensitive issue and get Tanzanians talking about land grabbing we decided to sell off Uhuru monument, our national symbol of freedom, to foreign investors; selling our land to foreign investors is selling our freedom. We are appealing to our government to protect our land as the source of our livelihoods, identity and sovereignty.”
Globally in the first ten years of this century over 200 million hectares of land has been reported to be subject to land deals, including more that 6 million hectares in Tanzania (http://landportal.info/landmatrix). These deals are too often resulting in farmers and pastoralists losing land and ending up in poverty. The land villages, and Tanzania as a whole, need for the growing population and future development is being signed away. Women who have weaker land rights are losing even more as competition for limited land increases. 


 
Women are not considered in negotiations on land deals and therefore get little if any of the benefits and compensation.
We welcome some of the commitments from amongst others Prime Minister Pinda and President Kikwete to put limits on large land deals. We call for these plans to be implemented and for citizens, companies, leaders and government to ensure:
1.    Land is made available to Tanzanian farmers and pastoralists especially women;
2.    Support for the motion in Parliament for a moratorium on foreign land investment;
3.  Adherence in Tanzania to the African Union Framework and Guidelines on Land Policy in Africa and the Voluntary Guidelines on the Responsible Governance of Tenure of Land that was adopted by all governments under the Food and Agriculture Organisation;
4.    Transparency and the active and fair participation of local people, especially women, affected by any large land acquisitions;
5.    The reduction in the length of agreements made with investors and the monitoring of these investments to ensure a benefit to local communities,

People affected by land grabs or wanting to share information can SMS to 0767 751659 or go to the website:  www.letstalktanzania.com (click on the mapping section).



Saturday, July 28, 2012

* Rais Jakaya Kikwete afungua Kongamano la Uhusiano baina ya Afrika na China



Rais JAKAYA KIKWETE akifungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

Wa tatu kutoka kushoto ni Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN, wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais STEVEN WASSIRA, wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha na Maendeleo ya Uchumi wa Sierra Leone MOMODU KARGBO, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Dakta PHILLIP MPANGO na kulia kabisa ni Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING.


Rais JAKAYA KIKWETE akimsikiliza  Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN (kushoto) na  Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING, baada ya kufungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe toka China wanaohudhuria Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

Friday, July 6, 2012

* Rais Jakaya Kikwete aongoza Baraza la Mawaziri pamoja na Viongozi wa Serikali Mjini Dodoma


Rais JAKAYA KIKWETE akiongoza kikao cha  Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa TAMISEMI Mjini Dodoma.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL, akimwakilisha Rais JAKAYA KIKWETE, kuongoza kikao cha  Baraza la Mawaziri, kilichofanyika katika Ukumbi wa Tamisemi Mjini Dodoma.


Rais JAKAYA KIKWETE akiongea Jambo na baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi Serikalini  baada ya kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa TAMISEMI Mjini Dodoma.

Tuesday, July 3, 2012

* Rais Jakaya Kikwete arejea nchini akitokea Burundi na Rwanda alikohudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa nchi Hizo


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE na Mama SALMA KIKWETE wakiwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.
 
Anayeongozana nao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam SAID MECKY SADIK.
 
 

Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Afande SAID MWEMA na Mkuu wa Majeshi Jenerali DAVIS MWAMUNYANGE baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.

* Wanafunzi na Walimu wa Shule ya Msingi ya Lugalo ya Jijini DSM, watembelea Bungeni Mjini Dodoma


Baadhi ya wanafunzi wa Darasa la saba wa Shule ya Msingi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya walimu wao, nje ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, wakati walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge, wakiwa katika ziara yao ya Kimasomo.







Miongoni mwa wanafunzi hawa, wapo Walimu, Mawaziri, Makatibu, Madaktari, Wabunge na Viongozi mbalimbali wa miaka ijayo, endapo watapewa misingi ya elimu iliyo bora na kupewa elimu ya Nidhamu na utiifu wakiwa bado wadogo, ili waje kuwa viongozi bora siku za baadaye.

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein aelekea nchini Uingereza kwa Ziara Maalum


Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk ALI MOHAMMED SHEIN, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi SEIF ALI IDDI pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum, katika safari hiyo Dk SHEIN amefuatana na Mkewe Mama MWANA MWEMA SHEIN.     

Friday, June 29, 2012

* Kampuni ya Simu ya tiGO yaendeleza Shangwe kwa Wateja wake Mjini Kahama





 
Picha mbalimbali zinazoonyesha matukio tofauti yaliyofanyika wakati wa tamasha la Tigo lililofanyika Mjini Kahama katika eneo la stendi ndogo, katika tamasha hilo burudani zilitolewa na kikundi cha sarakasi na msanii H. Baba kutoka mjini Dar es Salaam aliwapagawisha kwa Burudani safi ya Muziki wateja wa Kampuni hiyo.

Pia wateja wa Tigo walipata fursa ya kushinda zawadi mbalimbali kama vile simu, Tshirt na kofia za TigoVilevile huduma za Tigo zilipatikana katika viwanja hivyo.

* tiGO yamkabidhi hundi ya Shillingi milioni Mshindi wa Promosheni inayoendelea ya Tigo-Beatz Bi Zumra Mohammed


Tigo Public Relations Officer, Ms ALICE MARO (left) hands over a dummy cheque of Sh 10,000,000 to Ms ZUMRA MOHAMMED during a press conference held in Moshi.

Ms MOHAMMED was selected randomly during a live draw last week as the first winner of  the on-going Tigo Beatz promotion.

Standing in the centre is Mr ABUBAKARI MASSOLI, Tigo Customer Service and Sales Representative, Kilimanjaro. Far right is Mr MOHAMMED HASSAN RAJAB, Administrative, Kilimanjaro.


Ms ZUMRA MOHAMMED, the first winner of the on-going Tigo Beatz promotion, proudly holds up a dummy cheque of Sh 10,000,000 from Tigo.

Thursday, June 14, 2012

* Waziri wa Habari Azungumza na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali Jijini Mwanza


Waziri wa Habari vijana, Utamaduni na Michezo Dakta FENELLA MUKANGARA akiongea na maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali jijini Mwanza.

Pamoja na mambo mengine amewataka maafisa hao kuielimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo yanayofanywa na serikali kupitia vyombo vya habari.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo SETH KAMUHANDA mstari wa kwanza) akifuatilia mada  kuhusu changamoto zinazoikabili Tanzania katika kuhama kutoka mfumo wa Analojia  kwenda Digitali kufikia mwaka 2012 katika Kikao kazi cha Maafisa habari na Mawasiliano wa Serikali ijini Mwanza.

Wengine wanaoonekana kwa nyuma ni maafisa habari na mawasiliano wa Serikali.


Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ijini Mwanza.

Wednesday, June 13, 2012

* Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba Kuzichapa Julai 7 mwaka huu


Mabondia FRANCIS CHEKA (kushoto) na JAPHET KASEBA wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao unaotarajia kufanyika Julai 7 katika uwanja mpya wa taifa ambapo kutakuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiongozwa na Diamond.

Pia kutakua na mechi ya Bongo Movie na wasanii wa Bongo Fleva watakapochuana kwa mara nyingine katika mpambano ulioandaliwa na Global na kuratibiwa na KAIKE SIRAJU utakuwa ni mpambano wa kwanza wa Masumbwi kufanyika katika uwanja mpya wa Taifa
Baadhi ya mabondia watakaosindikiza mpambano huo ni  Adiphoce Mchumia tumbo atakaedundana na Ramadhani Kido wakati Amos Mwamakula ataoneshana kazi na Rashini Ali huku Mkongo Kanda Kabongo akizipiga na  Said Mbelwa wakati bondia chipukizi kutoka kambi ya masumbwi ya Ilala inayonolewa na Kocha Mkongwe Habibu Kinyogoli Masta na Kocha maarufu Rajabu Mhamila 'Super D'  watampandisha bondia Ibrahimu Class kuoneshana kazi na Sadiki Momba.

Friday, June 8, 2012

* Rais Jakaya Kikwete awaapisha Majaji wawili na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akimwapisha SEMISTOCLES KAIJAGE (kulia) kuwa jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Kabla ya uteuzi huo KAIJAGE alikuwa jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam.

Jaji wa Mahakama ya Rufani MUSSA KIPENKA akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa na Rais  Dkt JAKAYA KIKWETE Ikulu jijini Dar es Salaam, anayeshuhudia ni jaji mkuu wa Tanzania MOHAMMED CHANDE OTHMAN.

Rais JAKAYA KIKWETE akimwapisha EDWARD RUTAKANGWA kuwa kamishna  wa Tume ya Utumishi wa Mahakama katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dares Salaam.

* Rais Dakta Ali Shein kwa Nyakati tofauti akutana na Balozi wa Sweden, pia ameagana na Balozi wa Msumbiji aliyemaliza muda wake


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania AMOUR ZAKARIA aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais, baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania LENNARTH HJELMAKER aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa  Rais.

Thursday, June 7, 2012

* Kampuni ya Simu ya tiGO yatoa Zawadi na Burudani Mbalimbali kwa Wateja wake Wilayani Babati





Picha hizi zinaonyesha matukio mbalimbali yaliyofanyika wilayani Babati, ambapo kampuni ya tiGo iliwapatia wateja burudani kutoka kwa mwanamuziki H.Baba , Pia wateja walipata fursa ya kupata huduma mbalimbali kutoka kwenye vibanda vya tiGo vilivyopatikana viwanjani hapo, ambapo Zawadi kama T-shirt za tiGo, Simu na kofia zilitolewa katika tamasha hilo.

* Rais Kikwete pamoja na makamu wake Dakta Bilal,kwa nyakati tofauti wameagana na Balozi wa Canada aliyemaliza muda wake



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Bwana ROBERT J. ORR ambae amemaliza muda wake wa uwakilishi, katika Ikulu ya Mjini Dar es Salaam.



Makamu wa Rais Dkt MOHAMMED GHARIB BILALakizungumza na Balozi wa Canada ROBERT J. ORR, aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini.

* Vijana wa CCM Temeke, wachukua fomu za Kugombea Uenyekiti Wilayani humo


Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (CCM) UVCCM wilaya ya Temeke PIUS SELEMAN 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilayani humo, Bwana ATHUMANI NYAMLAN Dar es Salaam, anaeshudia katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bwana RAMADHANI MGOMI.

* Kampuni ya Simu ya Tigo yazindua Huduma ya "tiGO Internet Mega Boksi"


Tigo Public Relations Officer, ALICE MARO (right) and KWAME MAKUNDI Manager, Operations Internet Services, listening to questions from the media during the Tigo Internet Mega Boksi press conference.


KWAME MAKUNDI (left), Manager Operations Internet Services, explaining the new Tigo Internet services to the media, while ALICE MARO, Tigo Public Relations Officer listens in.

Tuesday, June 5, 2012

* Watu 13 wafariki Dunia na wengine kujeruhiwa Vibaya katika Ajali ya Gari Jijini Mbeya

                                
Baadhi ya Wananchi ambao pia ni Mashuhuda wakiwa katika eneo hilo kushuhudia namna Ajali hiyo ilivyotokea.



Wafanyakazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakiwa wanakimbiza majeruhi kupata huduma ya kwanza pamoja na Kupeleka Marehemu katika chumba cha Kuhifadhia Maiti.


Wananchi waliofika katika hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa lengo la kutambua miili ya Marehemu wa Ajali hiyo.