Saturday, March 17, 2012

* Ujumbe wa kujitathmini Ki-Utawala Bora APRM wakutana na Makamu wa Rais Dakta Mohammed Bilal



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. MOHAMMED GHARIB BILAL, akizungumza na ujumbe wa Kujitathmini Ki-Utawala Bora katika Afrika ‘African Peer Review Mechanism’ (APRM) wakati ujumbe huo ulipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo


Makamu wa Rais Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL, akifurahia jambo na Kiongozi wa Jopo la Wataalam kutoka Afrika wa Ujumbe wa Kujitathmini Ki-Utawala Bora katika Afrika ‘African Peer Review Mechanism’ (APRM) AKERE TABENG MUNA (kulia) na Mwenyekiti wa Ujumbe huo kutoka Tanzania, HASA MLAWA (kushoto) baada kumaliza mazungumzo na Jopo hilo.


Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. MOHAMMED GHARIB BILAL, akipiga picha ya pamoja kwa kumbukumbu na Wajumbe wa Kujitathmini Ki-Utawala Bora katika Afrika ‘African Peer Review Mechanism’ (APRM) baada kumaliza mazungumzo na Ujumbe huo.

Thursday, March 1, 2012

* Kocha wa Masumbwi Super D awafua Vijana wa Kambi ya Ilala



Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Nchini, RAJAB MHAMILA Super D (kulia) katika picha mbili tofauti akiwafundisha mabondia wa Kambi ya Ilala Jijini Dar es Salaam SAID MTITU pamoja na EMANNUEL MALOLO jinsi ya kutupa makonde.