Friday, July 8, 2011

* Simba na Yanga Zatinga Fainali ya Michuano ya Kombe la Kagame,Kukipiga Jumapili katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam

  
 
Rais wa Rwanda PAUL KAGAME ndie Mdhamini wa Michuano ya Kombe la Kagame


Kikosi cha Timu ya SIMBA Sports Club  ambao ni maarufu kama Wekundu wa Msimbazi watakaokipiga na Mahasimu wao wakubwa YANGA Sports Club watoto wa Jangwani katika Fainali ya Kombe la Kagame.


Kikosi kamili YANGA Sports Club ambao ni maarufu kwa jina la watoto wa Wajangwani ambao watakabiliana na mahasimu wao wa Enzi SIMBA Sports Club katika Michuano ya Kombe la Kagame itakayopigwa siku ya Jumapili katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment