Friday, July 15, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Gharib Bilal na Rais wa Mfuko wa Kuwait Kanda ya AFRIKA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akisalimiana na Rais wa Mfuko wa Kuwait Ukanda wa Afrika Sheikh FAHDI MOHAMMED AL-SHAMRI wakati alipofika kumtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam na kufanya nae mazungumzo.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akizungumza na Rais wa Mfuko wa Kuwait Ukanda wa Afrika, Sheikh FAHDI MOHAMMED AL-SHAMRI wakati alipofika kumtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam na kufanya nae mazungumzo, Kushoto ni Mkurugenzi wa Mfuko huo kwa upande wa Tanzania SAMY MOHAMMED.




No comments:

Post a Comment