Monday, July 18, 2011

* Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad akutana na Wakulima wa Karafuu Kisiwani Pemba


Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko AHMED MAZURI akitoa ufafanuzi juu ya mipango ya Wizara yake katika kufanikisha uchumaji wa zao la karafuu msimu huu. 


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba YAHYA BUGI akitoa amelezo kwa Makamu wa kwana wa Rais Maalim SEIF SHARIFF HAMAD juu ya mikakati ya Mkoa wake katika kupambana usafrishaji wa zao la karafuu kwa njia ya magendo.

No comments:

Post a Comment