Wednesday, July 6, 2011

* Mtoto Felix Finkbeiner akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Tayari kuanza Ziara yake ya kupanda miti katika Shule za Msingi hapa nchini


Mtoto FELIX FINKBEINER kutoka Nchini Ujerumani  Kulia akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam akiwa tayari kuanza Ziara ya Upandaji wa Miti katika Shule za Msingi kupitia kampeni yake inayoitwa Plant the Planet Stop talking ambapo anatazamiwa kuelekea Visiwani Zanzibar na Baadae ataenda mkoani Arusha pia anatazamiwa kupanda Mlima Kilimanjaro akiwa katika ziara yake hapa nchini.

No comments:

Post a Comment