Tuesday, July 5, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Gharib Bilal pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa ZANZIBAR Maalim Seif Shariff Hamad Wakutana katika Viwanja vya Saba saba.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim SEIF SHARIFF HAMAD wakati walipokutana kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere katika Maonyesho ya 35 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment