Sunday, April 8, 2012

* Kanumba kuzikwa Makaburi ya Kinondoni Mama mzazi Atoa Msimamo

Hayati STEVEN KANUMBA
Masaa machache baada ya mama mzazi wa Kanumba kufika Jijini Dar es Salaam akitokea kwao Bukoba amekubaliana na maombi ya wapenzi wa mwanae na wana-bongo MOVIE kwamba mwanae azikwe hapa hapa DSM.

Hivyo Kanumba atazikwa makaburi ya kinondoni na ataagwa siku ya jumanne katika viwanja vya LEADERS Kinondoni.



Maneno ya Mwisho ya STEVEN CHARLES KANUMBA

No comments:

Post a Comment