Wednesday, April 25, 2012

* Bondia Cheka ajifua kumchakaza Maugo Jumamosi hii


Kocha wa ngumi ABDALLAH ILAMBA 'Komando' akimsimamia Bondia FRANCIS CHEKA kufanya mazoezi ya tumbo kwa ajili ya mpambano wake na MADA MAUGO wa kugombea mkanda wa I.B.F pamoja na gari utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba.

No comments:

Post a Comment