Friday, April 13, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein akutana na Mabalozi wa nchi tofauti

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Italy JAMES ALEX MSEKELA aliyefika ya Ikulu ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Dakta ALI SHEIN akifuatana na Balozi wa Uturuki hapa nchini ALI DAVUTOGLU aliyefika Ikulu ya mjini Zanzibar kufanya mazungumzo na Dakta SHEIN.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi Dakta ALI SHEIN akisalimiana na Balozi wa Burundi hapa nchini ISSA NTAMBUKA aliyefika Ikulu ya Zanzibar kuonana na Mwenyekiti huyo wa Baraza la Mapinduzi.

No comments:

Post a Comment