Saturday, April 14, 2012

* Tomasi Mashari amchakaza Galile kwa pointi na kunyakua Ubingwa




Bondia SELEMANI GALILE akipambanma na THOMAS MASHARI 'Simba' wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam MASHARI alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa.

No comments:

Post a Comment