Friday, April 20, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein azindua tanki la Maji safi wilaya ya Chake Chake Pemba



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Tangi la Maji la Ziwani Wilaya ya Chake chake Pemba, akiwa katika ziara ya kutembelea miradi mbali mbali ya kijamii ya Mkoa wa Kusini Pemba.



Baadhi ya wananchi wa shehia ya ziwani na vijiji jirani wakimsikiliza,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN,alipokua akizungumza nao wakati wa sherehe za ufunguzi wa Tangi la Maji la Ziwani Wilaya ya Chake chake Pemba.

No comments:

Post a Comment