Friday, April 20, 2012

* Rais Jakaya Kikwete amaliza Ziara ya kikazi nchini Brazil


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa katika mazungumzo na wajumbe wa chama cha wafanya biashara na wawekezaji wakubwa wa nchi ya Brazil alipokutana nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi jijini Sao Paulo.


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa katika mazungumzo na viongozi wa chama cha wafanya biashara na wawekezaji wakubwa wa nchi ya Brazil alipokutana nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi jijini Sao Paulo.
 
Wa pili kulia ni Makamu wa Rais wa chama hicho Bwana JOAO GUILHERME na kushoto ni Mkurugenzi wa chama hicho THOMAZ ZANOTTO na kulia ni Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanachi Kiuchumi na Ushirika wa Zanzibar Mheshimiwa HAROUN ALI SULEIMAN.

No comments:

Post a Comment