Saturday, July 28, 2012

* Rais Jakaya Kikwete afungua Kongamano la Uhusiano baina ya Afrika na China



Rais JAKAYA KIKWETE akifungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

Wa tatu kutoka kushoto ni Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN, wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais STEVEN WASSIRA, wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha na Maendeleo ya Uchumi wa Sierra Leone MOMODU KARGBO, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Dakta PHILLIP MPANGO na kulia kabisa ni Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING.


Rais JAKAYA KIKWETE akimsikiliza  Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN (kushoto) na  Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING, baada ya kufungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe toka China wanaohudhuria Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

Friday, July 6, 2012

* Rais Jakaya Kikwete aongoza Baraza la Mawaziri pamoja na Viongozi wa Serikali Mjini Dodoma


Rais JAKAYA KIKWETE akiongoza kikao cha  Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa TAMISEMI Mjini Dodoma.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL, akimwakilisha Rais JAKAYA KIKWETE, kuongoza kikao cha  Baraza la Mawaziri, kilichofanyika katika Ukumbi wa Tamisemi Mjini Dodoma.


Rais JAKAYA KIKWETE akiongea Jambo na baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi Serikalini  baada ya kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri katika ukumbi wa TAMISEMI Mjini Dodoma.

Tuesday, July 3, 2012

* Rais Jakaya Kikwete arejea nchini akitokea Burundi na Rwanda alikohudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa nchi Hizo


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE na Mama SALMA KIKWETE wakiwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.
 
Anayeongozana nao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam SAID MECKY SADIK.
 
 

Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Afande SAID MWEMA na Mkuu wa Majeshi Jenerali DAVIS MWAMUNYANGE baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.

* Wanafunzi na Walimu wa Shule ya Msingi ya Lugalo ya Jijini DSM, watembelea Bungeni Mjini Dodoma


Baadhi ya wanafunzi wa Darasa la saba wa Shule ya Msingi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya walimu wao, nje ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, wakati walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge, wakiwa katika ziara yao ya Kimasomo.







Miongoni mwa wanafunzi hawa, wapo Walimu, Mawaziri, Makatibu, Madaktari, Wabunge na Viongozi mbalimbali wa miaka ijayo, endapo watapewa misingi ya elimu iliyo bora na kupewa elimu ya Nidhamu na utiifu wakiwa bado wadogo, ili waje kuwa viongozi bora siku za baadaye.

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein aelekea nchini Uingereza kwa Ziara Maalum


Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk ALI MOHAMMED SHEIN, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi SEIF ALI IDDI pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum, katika safari hiyo Dk SHEIN amefuatana na Mkewe Mama MWANA MWEMA SHEIN.     

Friday, June 29, 2012

* Kampuni ya Simu ya tiGO yaendeleza Shangwe kwa Wateja wake Mjini Kahama





 
Picha mbalimbali zinazoonyesha matukio tofauti yaliyofanyika wakati wa tamasha la Tigo lililofanyika Mjini Kahama katika eneo la stendi ndogo, katika tamasha hilo burudani zilitolewa na kikundi cha sarakasi na msanii H. Baba kutoka mjini Dar es Salaam aliwapagawisha kwa Burudani safi ya Muziki wateja wa Kampuni hiyo.

Pia wateja wa Tigo walipata fursa ya kushinda zawadi mbalimbali kama vile simu, Tshirt na kofia za TigoVilevile huduma za Tigo zilipatikana katika viwanja hivyo.

* tiGO yamkabidhi hundi ya Shillingi milioni Mshindi wa Promosheni inayoendelea ya Tigo-Beatz Bi Zumra Mohammed


Tigo Public Relations Officer, Ms ALICE MARO (left) hands over a dummy cheque of Sh 10,000,000 to Ms ZUMRA MOHAMMED during a press conference held in Moshi.

Ms MOHAMMED was selected randomly during a live draw last week as the first winner of  the on-going Tigo Beatz promotion.

Standing in the centre is Mr ABUBAKARI MASSOLI, Tigo Customer Service and Sales Representative, Kilimanjaro. Far right is Mr MOHAMMED HASSAN RAJAB, Administrative, Kilimanjaro.


Ms ZUMRA MOHAMMED, the first winner of the on-going Tigo Beatz promotion, proudly holds up a dummy cheque of Sh 10,000,000 from Tigo.

Thursday, June 14, 2012

* Waziri wa Habari Azungumza na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali Jijini Mwanza


Waziri wa Habari vijana, Utamaduni na Michezo Dakta FENELLA MUKANGARA akiongea na maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali jijini Mwanza.

Pamoja na mambo mengine amewataka maafisa hao kuielimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo yanayofanywa na serikali kupitia vyombo vya habari.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo SETH KAMUHANDA mstari wa kwanza) akifuatilia mada  kuhusu changamoto zinazoikabili Tanzania katika kuhama kutoka mfumo wa Analojia  kwenda Digitali kufikia mwaka 2012 katika Kikao kazi cha Maafisa habari na Mawasiliano wa Serikali ijini Mwanza.

Wengine wanaoonekana kwa nyuma ni maafisa habari na mawasiliano wa Serikali.


Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ijini Mwanza.

Wednesday, June 13, 2012

* Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba Kuzichapa Julai 7 mwaka huu


Mabondia FRANCIS CHEKA (kushoto) na JAPHET KASEBA wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao unaotarajia kufanyika Julai 7 katika uwanja mpya wa taifa ambapo kutakuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiongozwa na Diamond.

Pia kutakua na mechi ya Bongo Movie na wasanii wa Bongo Fleva watakapochuana kwa mara nyingine katika mpambano ulioandaliwa na Global na kuratibiwa na KAIKE SIRAJU utakuwa ni mpambano wa kwanza wa Masumbwi kufanyika katika uwanja mpya wa Taifa
Baadhi ya mabondia watakaosindikiza mpambano huo ni  Adiphoce Mchumia tumbo atakaedundana na Ramadhani Kido wakati Amos Mwamakula ataoneshana kazi na Rashini Ali huku Mkongo Kanda Kabongo akizipiga na  Said Mbelwa wakati bondia chipukizi kutoka kambi ya masumbwi ya Ilala inayonolewa na Kocha Mkongwe Habibu Kinyogoli Masta na Kocha maarufu Rajabu Mhamila 'Super D'  watampandisha bondia Ibrahimu Class kuoneshana kazi na Sadiki Momba.

Friday, June 8, 2012

* Rais Jakaya Kikwete awaapisha Majaji wawili na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akimwapisha SEMISTOCLES KAIJAGE (kulia) kuwa jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Kabla ya uteuzi huo KAIJAGE alikuwa jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam.

Jaji wa Mahakama ya Rufani MUSSA KIPENKA akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa na Rais  Dkt JAKAYA KIKWETE Ikulu jijini Dar es Salaam, anayeshuhudia ni jaji mkuu wa Tanzania MOHAMMED CHANDE OTHMAN.

Rais JAKAYA KIKWETE akimwapisha EDWARD RUTAKANGWA kuwa kamishna  wa Tume ya Utumishi wa Mahakama katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dares Salaam.

* Rais Dakta Ali Shein kwa Nyakati tofauti akutana na Balozi wa Sweden, pia ameagana na Balozi wa Msumbiji aliyemaliza muda wake


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania AMOUR ZAKARIA aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais, baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania LENNARTH HJELMAKER aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa  Rais.

Thursday, June 7, 2012

* Kampuni ya Simu ya tiGO yatoa Zawadi na Burudani Mbalimbali kwa Wateja wake Wilayani Babati





Picha hizi zinaonyesha matukio mbalimbali yaliyofanyika wilayani Babati, ambapo kampuni ya tiGo iliwapatia wateja burudani kutoka kwa mwanamuziki H.Baba , Pia wateja walipata fursa ya kupata huduma mbalimbali kutoka kwenye vibanda vya tiGo vilivyopatikana viwanjani hapo, ambapo Zawadi kama T-shirt za tiGo, Simu na kofia zilitolewa katika tamasha hilo.

* Rais Kikwete pamoja na makamu wake Dakta Bilal,kwa nyakati tofauti wameagana na Balozi wa Canada aliyemaliza muda wake



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Bwana ROBERT J. ORR ambae amemaliza muda wake wa uwakilishi, katika Ikulu ya Mjini Dar es Salaam.



Makamu wa Rais Dkt MOHAMMED GHARIB BILALakizungumza na Balozi wa Canada ROBERT J. ORR, aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini.

* Vijana wa CCM Temeke, wachukua fomu za Kugombea Uenyekiti Wilayani humo


Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (CCM) UVCCM wilaya ya Temeke PIUS SELEMAN 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilayani humo, Bwana ATHUMANI NYAMLAN Dar es Salaam, anaeshudia katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bwana RAMADHANI MGOMI.

* Kampuni ya Simu ya Tigo yazindua Huduma ya "tiGO Internet Mega Boksi"


Tigo Public Relations Officer, ALICE MARO (right) and KWAME MAKUNDI Manager, Operations Internet Services, listening to questions from the media during the Tigo Internet Mega Boksi press conference.


KWAME MAKUNDI (left), Manager Operations Internet Services, explaining the new Tigo Internet services to the media, while ALICE MARO, Tigo Public Relations Officer listens in.

Tuesday, June 5, 2012

* Watu 13 wafariki Dunia na wengine kujeruhiwa Vibaya katika Ajali ya Gari Jijini Mbeya

                                
Baadhi ya Wananchi ambao pia ni Mashuhuda wakiwa katika eneo hilo kushuhudia namna Ajali hiyo ilivyotokea.



Wafanyakazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakiwa wanakimbiza majeruhi kupata huduma ya kwanza pamoja na Kupeleka Marehemu katika chumba cha Kuhifadhia Maiti.


Wananchi waliofika katika hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa lengo la kutambua miili ya Marehemu wa Ajali hiyo.

Monday, June 4, 2012

* 2012/13 Budget Participation


By ZITTO KABWE

On June the 14th this year the Finance Minister will present the Government Budget for approval by Parliament. As it is well known the budget is the annual instrument for implementing a country’s development strategy.

In the build up to this year’s budget I am taking this opportunity as Shadow Finance Minister to invite everyone to put forward their ideas/suggestions on what areas should be of priority in this year's budget.

Your views will be collected and analyzed to form part of the Shadow Budget to be presented to Parliament and play a pivotal role in influencing MPs to adopt the proposals to improve the Government Budget.

Some of the major areas of concern that we are focusing on are;

1. Inflation which is largely contributed by food and energy prices (56.7% of the basket of goods and services with an inflation rate of 27%). Ideas on cutting inflation and hence prevent further deterioration of our poor people's income are largely welcome.

2. Unemployment especially youth unemployment is a mammoth challenge in our country. Tanzania’s phenomenal growth (economic growth) has not had a trickle down effect and in turn not translated into enough jobs which has increased the potential of a demographic bomb instead of dividend of having more young people and hence larger work force.

3. Reducing the current account deficit by cutting down on Imports & increasing Exports. Statistics shows that by the year ending March 2012 Tanzania import bill totalled USD 12.6bn while exports were a mere USD 6.9bn. The current account deficit stands at incredible USD 5.2bn! Tourism and Transport sectors have the potential of being even bigger forex earners as well as the proposed gas fired electricity generation would help cut down imports. Ideas in this area are needed.

5. More domestic revenue to finance development projects that are badly needed. By closing tax loopholes and reigning in on tax exemptions. Simultaneous cuts in recurrent spending and scaling up of development spending would foster strong growth.

6. The National Debt has drastically increased from TZS 7 trillions in 2009 to TZS 11 trillions in 2010 to a whopping TZS 22 trillions by march 2012. The costs for servicing this debt is the largest budget item in the proposed 2012/13 budget at TZS 2.7trillions is what we are paying this year to service our debt. This is equal to 34% of the whole budget for recurrent expenditure 21% of the total budget. Our nation's spiraling debt is bankrupting the future of Tanzania's children and put them at the mercy of our lenders.

Your ideas to help us improve the budget in order to foster growth and poverty eradication will be taken very seriously. Be part of transformation you want to see for Tanzania.