Saturday, July 28, 2012

* Rais Jakaya Kikwete afungua Kongamano la Uhusiano baina ya Afrika na China



Rais JAKAYA KIKWETE akifungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

Wa tatu kutoka kushoto ni Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN, wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais STEVEN WASSIRA, wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha na Maendeleo ya Uchumi wa Sierra Leone MOMODU KARGBO, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Dakta PHILLIP MPANGO na kulia kabisa ni Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING.


Rais JAKAYA KIKWETE akimsikiliza  Waziri wa China anayeshughulikia Umaskini FAN XIAOJIAN (kushoto) na  Balozi wa China hapa nchini L.V. YOUQING, baada ya kufungua Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe toka China wanaohudhuria Kongamano la tatu la Jukwaa la Uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umaskini.

No comments:

Post a Comment