Tuesday, July 3, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein aelekea nchini Uingereza kwa Ziara Maalum


Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk ALI MOHAMMED SHEIN, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi SEIF ALI IDDI pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum, katika safari hiyo Dk SHEIN amefuatana na Mkewe Mama MWANA MWEMA SHEIN.     

No comments:

Post a Comment