Tuesday, July 3, 2012

* Rais Jakaya Kikwete arejea nchini akitokea Burundi na Rwanda alikohudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa nchi Hizo


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE na Mama SALMA KIKWETE wakiwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.
 
Anayeongozana nao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam SAID MECKY SADIK.
 
 

Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Afande SAID MWEMA na Mkuu wa Majeshi Jenerali DAVIS MWAMUNYANGE baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam wakitokea Burundi na Rwanda walikohudhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo.

No comments:

Post a Comment