Sunday, May 13, 2012

Mwana - Habari Rachel Mwiligwa kuagwa katika kanisa la ANGLIKANA Ubungo


Marehemu RACHEL MWILIGWA

TANGAZO LA MSIBA
Mwili wa marehemu  RACHEL MWILIGWA aliyekuwa mhariri wa gazeti la MTANZANIA  linalomilikiwa na kampuni ya NEW HABARI CORPOROTAION  utaagwa   tarehe  14.5.2012  katika kanisa la ANGLIKANA UBUNGO jirani na Shule ya msingi ya  national housing.
Waaandishi wahabari  na wadau  wa michezo nchini wanaombwa  kujitokeza kwa wingi kuhudhuria ibada hiyo ambapo baadae saa sita mwili utapelekwa  eneo la GOBA nje  kidogo ya jiji la DSM kwa ajili ya mazishi.
Tunashukuru kwa ushirikiano ulionyeshwa   kutoka waandishi wenyewe,wananchi na wadau wa michezo nchini katika kufanikisha jambo hili.
Taarifa hii ni kwa kujubu wa kaka wa marehemu ALEX CHIMELA
Bwana ametoa  na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.

No comments:

Post a Comment