Thursday, May 17, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein akutana na Viongozi wa wizara mbalimbali


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk ALI MOHAMMED akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria, kuhusu utekelezaji wa mpango kazi wa Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar.


Viongozi wa wizara ya Viwanda,Biashara na Masoko wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dakta ALI MOHAMMED SHEIN

No comments:

Post a Comment