Wednesday, May 23, 2012

* Mama Asha Bilal Mgeni Rasmi maadhimisho ya miaka miwili ya Taasisi ya Tushikamane


Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama ASHA BILAL, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya maadhimisho ya kusherehekea kutimiza miaka miwili ya Taasisi ya Tushikamane Pamoja Foundation, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.



Mchezaji wa mpira wa Kikapu HASHEEM THABEET, akipita jukwaani na vazi la asili kwa mikogo  wakati wa hafla ya maadhimisho ya kusherehekea kutimiza miaka miwili ya Taasisi ya Tushikamane Pamoja Foundation.


Mke wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mama MARGARETH SITTA, akipita jukwaani na vazi la asili kwa mikogo, wakati wa hafla ya maadhimisho ya kusherehekea kutimiza miaka miwili ya Taasisi ya Tushikamane Pamoja Foundation iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment