Friday, June 8, 2012

* Rais Jakaya Kikwete awaapisha Majaji wawili na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akimwapisha SEMISTOCLES KAIJAGE (kulia) kuwa jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Kabla ya uteuzi huo KAIJAGE alikuwa jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam.

Jaji wa Mahakama ya Rufani MUSSA KIPENKA akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa na Rais  Dkt JAKAYA KIKWETE Ikulu jijini Dar es Salaam, anayeshuhudia ni jaji mkuu wa Tanzania MOHAMMED CHANDE OTHMAN.

Rais JAKAYA KIKWETE akimwapisha EDWARD RUTAKANGWA kuwa kamishna  wa Tume ya Utumishi wa Mahakama katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dares Salaam.

No comments:

Post a Comment