Thursday, June 7, 2012

* Kampuni ya Simu ya tiGO yatoa Zawadi na Burudani Mbalimbali kwa Wateja wake Wilayani Babati





Picha hizi zinaonyesha matukio mbalimbali yaliyofanyika wilayani Babati, ambapo kampuni ya tiGo iliwapatia wateja burudani kutoka kwa mwanamuziki H.Baba , Pia wateja walipata fursa ya kupata huduma mbalimbali kutoka kwenye vibanda vya tiGo vilivyopatikana viwanjani hapo, ambapo Zawadi kama T-shirt za tiGo, Simu na kofia zilitolewa katika tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment