Thursday, June 7, 2012

* Rais Kikwete pamoja na makamu wake Dakta Bilal,kwa nyakati tofauti wameagana na Balozi wa Canada aliyemaliza muda wake



Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Bwana ROBERT J. ORR ambae amemaliza muda wake wa uwakilishi, katika Ikulu ya Mjini Dar es Salaam.



Makamu wa Rais Dkt MOHAMMED GHARIB BILALakizungumza na Balozi wa Canada ROBERT J. ORR, aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini.

No comments:

Post a Comment