Tuesday, June 5, 2012

* Watu 13 wafariki Dunia na wengine kujeruhiwa Vibaya katika Ajali ya Gari Jijini Mbeya

                                
Baadhi ya Wananchi ambao pia ni Mashuhuda wakiwa katika eneo hilo kushuhudia namna Ajali hiyo ilivyotokea.



Wafanyakazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakiwa wanakimbiza majeruhi kupata huduma ya kwanza pamoja na Kupeleka Marehemu katika chumba cha Kuhifadhia Maiti.


Wananchi waliofika katika hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa lengo la kutambua miili ya Marehemu wa Ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment