Friday, June 8, 2012

* Rais Dakta Ali Shein kwa Nyakati tofauti akutana na Balozi wa Sweden, pia ameagana na Balozi wa Msumbiji aliyemaliza muda wake


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania AMOUR ZAKARIA aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais, baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania LENNARTH HJELMAKER aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa  Rais.

No comments:

Post a Comment