Friday, April 6, 2012

* Majina ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya katiba yatangazwa




Rais JAKAYA KIKWETE akitangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo.

Wakishuhudia ni Makamu wa Rais Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL, Waziri Mkuu MIZENGO PINDA, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi SEIF IDDI Pamoja na Waziri wa Sheria na Katiba Mama CELINA KOMBANI.


Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakimsubiri Rais KIKWETE kuja kutangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Ikulu jijini Dar es Salaam.


Rais KIKWETE akitoa ufafanuzi kuhusu Tume ya mabadiliko ya Katiba aliyoitangaza, akisisitiza kwamba tarehe ya kuanza kazi itatangazwa rasmi mara baada ya wajumbe wote kujulishwa uteuzi wao na baadae kuapishwa kwa mujibu sheria tume hiyo inatakiwa iwe imekamilisha kazi ndani ya miezi 18.


   TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

 Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83,

Toleo la 2012, Vifungu 5, 6 na 7

______________________________



UONGOZI WA JUU

1.Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA
- Mwenyekiti

2.Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI
- Makamu Mwenyekiti


WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.Prof. Mwesiga L. BAREGU


2.Nd. Riziki Shahari MNGWALI


3.Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI


4.Nd. Richard Shadrack LYIMO


5.Nd. John J. NKOLO


6.Alhaj Said EL- MAAMRY


7.Nd. Jesca Sydney MKUCHU


8.Prof. Palamagamba J. KABUDI


9.Nd. Humphrey POLEPOLE


10.Nd. Yahya MSULWA


11.Nd. Esther P. MKWIZU


12.Nd. Maria Malingumu KASHONDA


13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)


14.Nd. Mwantumu Jasmine MALALE


15.Nd. Joseph BUTIKU


WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR


1.Dkt. Salim Ahmed SALIM


2.Nd. Fatma Said ALI


3.Nd. Omar Sheha MUSSA


4.Mhe. Raya Suleiman HAMAD


5.Nd. Awadh Ali SAID

6.Nd. Ussi Khamis HAJI


7.Nd. Salma MAOULIDI


8.Nd. Nassor Khamis MOHAMMED


9.Nd. Simai Mohamed SAID


10.Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA


11.Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN


12.Nd. Suleiman Omar ALI


13.Nd. Salama Kombo AHMED


14.Nd. Abubakar Mohammed ALI


15.Nd. Ally Abdullah Ally SALEH


UONGOZI WA SEKRETARIETI

1.Nd. Assaa Ahmad RASHID
- Katibu

2.Nd. Casmir Sumba KYUKI
- Naibu Katibu

No comments:

Post a Comment