Sunday, July 31, 2011

* Mkutano wa Kamati kuu (CC) wa Chama cha Mapinduzi wafunguliwa Mjini Dodoma hii leo..


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, JAKAYA KIKWETE, akiingia katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Kamati kuu, Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa, WILLSON MUKAMA.


Mwenyekiti wa CCM taifa JAKAYA KIKWETE, Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, AMAN ABEID KARUME (wa tatu kushoto), Rais wa Zanzibar, Dakta ALI MOHAMMED SHEIN, Mwenyekiti wa CCM Mstaafu, ALI HASSAN MWINYI (kushoto), Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, PIUS MSEKWA (kulia) pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, WILLSON MUKAMA wakiwa katika ufunguzi wa Kikao cha Kamati kuu katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma mapema hii leo.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL, akiwa katika ufunguzi wa Kikao cha Kamati Kuu Katikati ni Waziri Mkuu, MIZENGO PINDA.

No comments:

Post a Comment