Tuesday, July 12, 2011

* Maalim Seif Shariff Hamad Akutana na Mfalme wa Ashanti Visiwani Zanzibar

Maalim SEIF SHARIFF HAMAD akizungumza na Mfalme wa Ashanti, OTUMFUO OSEI TUTU ofisini kwake Migombani, Zanzibar

Maalim SEIF SHARIFF HAMAD akipokea zawadi kutoka kwa msaidizi wa Mfalme wa Ashanti, OTUMFUO OSEI TUTU, baada ya kumaliza mazungumzo yao,ofisini kwake Migombani Zanzibar


No comments:

Post a Comment