Monday, August 8, 2011

* Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge William Lukuvi atembelea Banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa


Mheshimiwa WILLIAM LUKUVI akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa hali ya hewa Mkurugenzi wa Utafiti Dakta E. MPETA, pembeni ni afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo MONICA MUTONI,akifuatilia kwa karibu, katika banda la Mamlaka hiyo ndani ya Viwanja vya Nanenane mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment