Monday, August 22, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Gharib Bilal amuaga rasmi Balozi wa Misri anayemaliza muda wake Wael Adel Nasr


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akizungumza na Balozi wa Misri anayemaliza muda wake hapa nchini WAEL ADEL NASR aliyefika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga rasmi.


Makamu wa Rais wa Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL pamoja na Balozi wa Misri anayemaliza muda wake WAEL ADEL NASR aliyefika ofisini kwake Ikulu, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga, Kushoto ni Msaidizi wa Balozi huyo AMR MAHMOUD.

No comments:

Post a Comment