Tuesday, August 16, 2011

* Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad atembelea maghala ya kuhifadhia Karafuu kisiwani Pemba


Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim SEIF SHARIFF HAMAD akiangalia karafuu zilizochakachuliwa kwa pamoja na unga wa makonyo, mchanga pamoja na maji katika Ghala la kuhifadhia karafuu Mkoani kisiwani Pemba,Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa ZSTC HAMAD KHAMIS HAMAD na kushoto ni Mkuu wa Kusini Pemba JUMA KASSIM TINDWA.

No comments:

Post a Comment