Sunday, August 28, 2011

* Rais Jakaya Kikwete ahudhuria futari iliyoandaliwa na Makamu wake Dakta Mohammed Gharib Bila katika makazi yake OYSTERBAY Jijini Dar es Salaam


Rais Dakta JAKATA KIKWETE, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL, Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti ISSA SHAABAN SIMBA na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad MUSSA SALUM, wakisubiri muda wa swala kabla ya kupata futari iliyoandaliwa na Makamu wa Rais katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es Salaam.


Rais Dakta JAKAYA KIKWETE, Makamu wake Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, SAID MECK SADICK, wakiomba dua kwa pamoja baada ya kupata futari iliyoandaliwa na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dakta BILAL
 

No comments:

Post a Comment