Sunday, September 11, 2011

Makamu wa rais Dakta Mohammed Gharib Bilal atembelea Majeruhi wa Ajali ya Mv Spice Islander


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL Mama ZAKHIA BILAL na Mama ASHA BILAL, wakiwa katika viwanja vya Hospitali ya Mnazi Mmoja, wakati alipofika kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya Meli ya Mv SPICE ISLANDER iliyotokea eneo la Nungwi Pemba.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akimjulia hali mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya Meli, MUSSA HEMED, mkazi wa Wete Pemba, aliyelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment