Wednesday, September 14, 2011

Ujumbe wa Chama cha Mapinduzi CCM watoa Pole kwa rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohammed Shein


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara PIUS MSEKWA akiongoza ujumbe wa CCM uliofika Ikulu Mjini Zanzibar,kumpa pole kutokana na Msiba kwa wananchi,waliofariki kwa ajali ya Meli ya Mv SPICE ISLANDER ambayo ilizama Ijumaa ya wiki iliyopita huko Bahari ya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja ilipokuwa ikielekea Pemba.

No comments:

Post a Comment