Wednesday, September 21, 2011

Dakta Shein akutana kwa Nyakati tofauti na Balozi wa Japan pamoja na mwakilishi wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Balozi wa Japan anayemaliza muda wake hapa nchini Nchini,HIROSH NAKAGAWA aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga baada ya kumaliza muda wake.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na mgeni wake Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani KLAUS-PETER BRANDES aliyefika Ikulu ya mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais SHEIN.

No comments:

Post a Comment