Thursday, September 29, 2011

* Shirika la Oxfam limezindua ripoti inayohusu mikataba mibovu na Uporwaji wa Ardhi Tanzania



Picha mbili tofauti zikionesha matukio yaliyojiri wakati wa uzinduzi huo ambao umefanyika katika Ofisi za OXFAM TANZANIA na kuhudhuria na wadau mbalimbali wanaojihusisha na utetezi wa migogoro ya Ardhi hapa Nchini.

No comments:

Post a Comment