Wednesday, October 12, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Bilal atoa Pole kwa Familia ya Balozi Juma Mwapachu Jijini Dar es Salaam



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. MOHAMMED GHARIB BILAL, akitia saini katika Kitabu cha maombolezo cha HARITH MWAPACHU, ambaye ni mtoto wa Balozi JUMA MWAPACHU, aliyefariki dunia Jijini Dar es Salaam. 



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. MOHAMMED GHARIB BILAL akisalimiana na Mwenyekiti wa CHADEMA FREEMAN MBOWE, wakati walipokutana katika msiba wa mtoto wa Balozi JUMA MWAPACHU eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment