Wednesday, October 12, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein awapongeza wanafunzi wa kidato cha 4 na 6 waliofanya vizuri visiwani Unguja


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na walimu na wanafunzi bora wa kidato cha nne na sita,waliofanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka 2010-2011,alipokutana nao katika Viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar.
 




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. ALI MOHAMMED SHEIN akipokea risala kutoka kwa mwanafunzi ALI OMAR kwa niaba ya wanafunzi bora wa kidato cha nne na sita,waliofanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka 2010-2011.

No comments:

Post a Comment