Wednesday, October 26, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Gharib Bilal ahudhuria na kutembelea Banda la Tanzania wakati wa mkutano wa Kimataifa wa mawasiliano ITU


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akichangia hoja wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Mawasiliano wa Kimataifa ITU uliofanyika Geneva Switzelrand.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Tanzania Youth Alliance (TAYOA) PETER MASIKA kuhusu namna ya kuwawezesha vijana kutumia teknolojia ya mawasiliano ya kompyuta, wakati akikagua banda la Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Mawasiliano (ITU) ambao umefanyika Geneva, Switzerland.

No comments:

Post a Comment