Wednesday, September 14, 2011

Makamu wa rais Dakta Mohammed Gharib Bilal ahudhuria Maonesho ya Miaka 35 ya Utendaji kazi wa reli ya Tazara


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akisoma hotuba yake wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya TAZARA kuelekea maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.




Balozi wa Zambia hapa nchini MAVIS LENGALENGA (kushoto) akicheza ngoma ya asili iliyokuwa ikitolewa na kikundi cha Sanaa cha Makanjani kutoka Zambia, wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, Maonyesho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment