Thursday, September 15, 2011

Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya Etisalat yakutana na Dakta Shein Ikulu ya Zanzibar



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na Uongozi wa Bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya Etisalat, walipofika Ikulu mjini zanzibar kumpa pole Rais, kutokana na ajali ya kuzama kwa Meli ya Mv SPICE ISLANDERS, iliyokuwa ikielekea kisiwani Pemba.

No comments:

Post a Comment