Tuesday, August 16, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohammed Shein afuturisha Wananchi wa kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Alhaj Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Mtoto MUSSA MAKAME BADRU wa kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba baada ya kufutari pamoja na wazee hao katika futari maalum aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Alhaj Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akiwa katika futari na wananchi na wazee wa kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.




No comments:

Post a Comment