Tuesday, August 23, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohammed Shein akutana na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria ya Zanzibar



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na uongozi wa Wizara ya katiba na Sheria, Ikulu Mjini Zanzibar katika mfululizo wa kuzungumza na kila uongozi wa wizara Visiwani humo.

No comments:

Post a Comment