Thursday, March 1, 2012

* Kocha wa Masumbwi Super D awafua Vijana wa Kambi ya Ilala



Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Nchini, RAJAB MHAMILA Super D (kulia) katika picha mbili tofauti akiwafundisha mabondia wa Kambi ya Ilala Jijini Dar es Salaam SAID MTITU pamoja na EMANNUEL MALOLO jinsi ya kutupa makonde.

No comments:

Post a Comment