Friday, February 24, 2012

Washiriki wa Halaiki ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar wakutana na Rais Shein




Rais wa Zanzibar Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi SEIF ALI IDDI wakati wa hafla ya chakula cha mchana walichoandaliwa watoto walioshiki katika Halaiki wakati wa Maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.



Watoto walioshiriki katika Halaiki ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa wamevalia sare, wakisubiri kuanza kwa shughuli hiyo ya chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar Dkt ALI MOHAMMED SHEIN.

No comments:

Post a Comment