Thursday, February 23, 2012

* Tanzania yasaini mkataba wa kupeleka washtakiwa wa Uharamia wa Ki-Somali katika Jela Husika



Rais JAKAYA KIKWETE na Waziri wa masuala ya Jumuiya ya Madola, Umoja wa Mataifa na Afrika na Mazingira wa Uingereza HENDRY BELLINGHAM wakishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa BERNARD MEMBE akiweka saini sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza kuhusu makubaliano kati ya nchi hizo mbili juu ya taratibu za kukabadhiana watuhumiwa wa uharamia na mali zilizokamatwa katika matukio ya uharamia katika bahari kuu.

No comments:

Post a Comment