Wednesday, February 15, 2012

* Dakta Shein akutana na mwakilishi wa Shirika la Afya la Ulimwengu WHO Dakta Rufaro Chatora



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN, akizungumza na Dkt RUFARO R. CHATORA (WHO) Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni, nchini Tanzania, (kushoto) na Waziri wa Afya JUMA DUNI HAJI, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akifuatana na Dkt RUFARO R.CHATORA, (WHO) Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni, nchini Tanzania, (kushoto) na Waziri wa Afya JUMA DUNI HAJI , (kulia) baada ya mazungumzo yao Ikulu Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment