Friday, February 17, 2012

* Khitma ya Marehemu Tambaza Mohammed Tambaza kufanyika Jumamosi February 18, 2012 Dar es Salaam

Marehemu Tambaza Mohammed Tambaza

Kamati ya msiba wa ndugu yetu marehemu TAMBAZA MOHAMMED TAMBAZA inaarifu kwamba Khitma ya marehemu itasomwa Jumamosi hii February 18 mtaa wa Congo mwisho Kariakoo Jijini Dar es Salaam kuanzia Saa 6 mchana.

Marehemu TAMBAZA ambae alikuwa ni mwanamichezo na mwanaharakati wa maendeleo ya Jamii atakumbukwa kama mmoja wa wana-Dar es Salaam waliojizolea umaarufu mkubwa katika Jamii kutokana na Juhudi zake za kuwa mstari wa mbele katika kluendeleza mstakabali wa maendeleo ya wananchi.

No comments:

Post a Comment