Thursday, February 16, 2012

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Bilal atembelea mradi wa mto mkuju - Madini ya Urani



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akisikiliza maelezo kutoka kwa Ofisa Usalama Kazini, NASSOR ABDALLAH kuhusu vifaa vya usalama kazini vinavyotumika na wafanyakazi wa migodini wanapokuwa kazini, wakati Makamu wa Rais akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Ruvuma alipotembelea mradi wa Mto Mkuju unaojiandaa na uchimbaji wa madini ya Urani kupitia kampuni yake ya Manta Tanzania Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, SAID MWAMBUNGU.

No comments:

Post a Comment