Monday, June 27, 2011

* Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar akutana na Wahitimu wa Shahada ya Kwanza katika Chuo kikuu cha Waislamu cha Morogoro

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim SEIF SHARIFF HAMAD akizungumza na wahitimu watarajiwa wa Shahada ya Kwanza katika Chuo Kikuu cha Waislamu, Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Kanal Mstaafu ISSA MACHIBYA


No comments:

Post a Comment